BOFYA HAPA kupata Matokeo ya Usaili wa kuhamia kidato cha 2, 3 au 4 - 2025 - 09/12/2024 | BOFYA HAPA kupata Matokeo ya Usaili wa kujiunga na Kidato cha 1 2025 - 14/12/2024 | BOFYA HAPA kupata Matokeo ya Usaili wa kujiunga na Kidato cha 1 2025 - 28/09/2024 | BOFYA HAPA kupata taratibu za kujiunga na kidato cha kwanza 2025 | BOFYA HAPA kupata ombi (fomu) la kuhamia kidato cha 2 na cha 4 - 2025 | BOFYA HAPA kupata nafasi za masomo 2025 | View and download ASCEE, SCEE, QT, MOCK and FTNA/FTSEE past papers of various subjects in pdf ->> Kusoma jumbe na taarifa mbalimbali, fuata kiungo 'SCHOOL NEWS' hapo chini.

Masomo na michepuo ya A-Level

Usaili kidato cha 1 utafanyika tar 28/12/2024

"Education is not a way to escape poverty, it is a way to fight it" - Mwl J. K. Nyerere

Mitaala

 

Asubuhi shule yetu inafuata mitaala iliyotolewa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (kidato cha kwanza hadi kidato cha sita),

kwa kuzingatia imani na maadili ya Kanisa Katoliki, pamoja na mila njema za Watanzania ili nchi iweze kujengwa kwa uimara.

Masomo ya Bible Knowledge na Divinity ni ya lazima kwa Wakristo wote.

Aidha, masomo ya Dini yanafundishwa kadiri ya imani ya wanafunzi na utayari wa walimu wa kujitolea kutoka dini husika

Lugha ya Kiingereza ndiyo itakayotumika kufundishia kwa kuzingatia maelekezo ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi

Shule yetu ni ya sekondari kuanzia kidato cha 1 hadi cha 6. Kuanzia mwaka 2010 asubuhi imekuwa na mikondo 24 (6x4) .

 

Shule yetu inapokea hata watu waliochelewa kupata elimu (wanandoa, wafanyakazi n.k.), madarasa 32 yanatumika hata jioni na Jumamosi kwa kozi za haraka kuliko kawaida.

Kwa hiyo, wanafunzi ni zaidi ya 3,000. Karibu nusu wanaishi katika mabweni ya shule, na wengine wanatokea nyumbani.

Ziara ya Askofu Msimbe 2024

Watch Video

 

2021 Bonanza Highlights

Watch Video

 

2020 Bonanza Trophy for Winners

Watch Video

 

2020 Bonanza Football Match

Watch Video

 

2019 Form IV graduation rehearsals

Watch Video

 

| Tazama habari zilizopita |